728x90 AdSpace

  • Latest News

      Thursday, 28 January 2016

      Mfamasia kazini

      Mojawapo wa wamiliki wa kampuni ya bajileson na mfamasia msimamizi Bi Magdalene urrio akiwa anasubiri wateja wa kuwahudumia..Ni jambo la kawaida wateja wetu kupokelewa kwa tabasamu na kusikilizwa kwa umakini!Mojawapo ya faida anayoipata mteja wa Buswelu pharmacy ni kupewa huduma katika hali ya usiri kwani kuna chumba maalum kwa wagonjwa wenye uhitaji wa huduma hiyo (consultation room)
      • Blogger Comments
      • Facebook Comments

      0 comments:

      Post a Comment

      Item Reviewed: Mfamasia kazini Rating: 5 Reviewed By: Unknown