• Latest News

    Friday, 29 July 2016

    Picha|Mchina wa geita akamatwa

    Raia wa China, Leo Swi akikamatwa kwa tuhuma za kumtesa mfanyakazi wa mfanyakazi wa mgodi wa madini wa Nyamahuna, Geita, Masanja Shokaa baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba kutembelea mgodi huo.
    Source:Mwananchi
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Picha|Mchina wa geita akamatwa Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top