728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday 29 January 2016

    Bajileson Company Ltd-A welcome note

    Bajileson Co ltd inajihusiha na uuzaji wa reja reja wa dawa za binadamu,vipodozi na vifaa tiba!
    Dira ya kampuni hii ni kuwa mojawapo ya kampuni inayoongoza katika wilaya ya ilemela kwenye kutoa huduma ya reja reja ya dawa za binadamu na vipodozi.
    Buswelu pharamacy chini ya Bajileson Co ltd imeanzishwa mwezi septemba 2015 na ipo katika mtaa wa buswelu wilaya ya Ilemela jijini Mwanza..Buswelu pharmacy ni mojawapo ya pharmacy kubwa katika kata ya Buswelu na inasifika kwa kuwa na wataalamu wazoefu na weledi katika kumshauri mgonjwa!Pia inasifika kwa kuuza dawa za binadamu zenye ubora mzuri na ushauri unaotolewa bure.Kwa mawasiliano unaweza kutupata kwenye email-bajilesonltd@gmail.com na simu +255786650213
    Mitandao ya kijamii ni facebook-bajileson co ltd na twitter-bajilesonltd
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Bajileson Company Ltd-A welcome note Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top