728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday 28 July 2016

    Alazwa Bugando Mwaka Mzima Kwa kunywa Kemikali

    ALAZWA HOSPITALI MWAKA MZIMA BAADA YA KUNYWA CAUSTIC SODA
    ** Afya ya msichana wa miaka 17 ambaye utumbo wake na koromeo viliharibika vibaya baada ya kunywa chemikali aina ya caustic soda akidhani ni maji safi na salama ya kunywa inaendelea kuzorota katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando (BMC) mkoani Mwanza alikolazwa kwa zaidi ya mwaka mmoja kwa ajili ya matibabu.
    Hawezi kula chakula kwa njia ya kawaida kwani mfumo wake wa chakula umefungwa, licha ya kufanyiwa upasuaji mara kadhaa tangu alipofikishwa BMC Aprili mwaka jana.
    Source na ingia hapa kupata stori kamili http://www.mwananchi.co.tz/habari/Alazwa-hospitali-mwaka-mzima-baada-ya-kunywa-caustic-soda/1597578-3319698-6yqqn0z/index.html
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Alazwa Bugando Mwaka Mzima Kwa kunywa Kemikali Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top