728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday 11 August 2016

    MH. RAIS MAGUFULI USO KWA USO NA KITWANGA

    Safari ya kisiasa ni ndefu sana hasa ikichukuwa wiki moja katika siasa ni muda mrefu.
    Within six month, Kitwanga was fired from his job after a moment of madness.Wale ambao hawakumfahamu vizuri Rais Magufuli walishangaa kitendo cha kumfukuza kazi Kitwanga ambaye ni rafiki wake wa karibu lakini wale wanamfahamu vizuri hawakushangaa hata kidogo.
    Kama ni somo, Kitwanga has learned the hard way.Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mbunge wa Misungwi, Mhe. Charles Kitwanga baada ya kuzungumza na wakazi na wasafiri eneo la Busisi kabla ya kuvuka na kuelekea Jijini Mwanza.
    Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania,  Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mbunge wa Misungwi, Mhe. Charles Kitwanga akimtajia badhi ya changamoto jimboni kwake mbele ya  wakazi  wa Usagara katika jimbo la Misungwi mkoani Mwanza.
    Source:Jamiiforums
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MH. RAIS MAGUFULI USO KWA USO NA KITWANGA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top