728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday 25 July 2016

    Picha 7: DC Korogwe ashiriki ujenzi wa zahanati, apanga kukamilisha ndani ya siku 30


    Umbali mrefu wa kufuata huduma ya afya umemfanya Mkuu wa wilaya ya Korogwe,Gabriel Robert kushirikiana na wananchi wa kijiji cha Mwenga Tarafa ya Mombo kuanza ujenzi wa zahanati ambayo wamelenga kujenga zahanati yenye viwango vya ubora na vigezo vyote vya kitaalamu ndani siku 30 kuanzia leo.
    IMG-20160723-WA0014
    Mkuu wa wilaya ya Korogwe, Gabriel Robert akishiriki kuchimba msingi wa ujenzi wa zahanani kijiji cha mwenga
    IMG-20160723-WA0004

    IMG-20160723-WA0040
    DC Korogwe, Gabriel Robert
    IMG-20160723-WA0006

    IMG-20160723-WA0007

    IMG-20160723-WA0009
    DC Korogwe, Gabriel Robert
    IMG-20160723-WA0021
    Wananchi wa kijiji cha Mwenga waliojitokeza kusaidia ujenzi wa zahanati
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Picha 7: DC Korogwe ashiriki ujenzi wa zahanati, apanga kukamilisha ndani ya siku 30 Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top